GOLIE ANASWA AKIWEKA JUJU
Milnda lango wa Teungueth FC 'Baye Cisse' alinaswa kwenye camera akitumia 'Juju' (NDUMBA) kwenye eneo lake la lango kabla ya kuanza kwa mpambano wao wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Esprerance de Tunis jana.
Hata hivyo Teungueth walipoteza mechi hiyo kwa mabao 2 - 1.
#BinagoUPDATES
0 Comments