TANZANIA KUKIPIGA NA ZAMBIA LEO

CHAN2021.

#AfricanNationsChampionshipGroupDRound1

Zambia V Tanzania 7:00 PM Usiku

Timu ya Taifa ya soka ya Tanzania, Taifa Stars leo saa 1:00 usiku itatupa karata yake ya kwanza ya michuano hii kwa kucheza na Zambia maarufu Chipolopolo.

Taifa Stars mara ya mwisho kucheza na Zambia ilikuwa kwenye COSAFA ambapo Tanzania ilipoteza magoli 4-2. 

... CHAN 2020/21 🔥
#BinagoUPDATES

No comments