DAKTARI; YACOUBA BADO NI MAJERAHA

DAKTARI: YACOUBA BADO NI MAJERAHA
 
Yacouba tunampleka tena hospitali ili kumfanyia vipimo vingine zaidi kufahamu shida ambayo inamsumbua ni ipi na kwa nini ameshindwa kupona katika matibabu ya awali na baada ya hapo ndio ataanza tiba mpya na kufahamu atakuwa nje kwa muda gani. - Daktari wa Yanga."
#BinagoUPDATES

No comments