MESUT OZIL RASMI FENERBAHCE

Kiungo matata ambae amekuwa hana nafasi kwa mrefu Arsenal, ametua katika miamba ya Fenerbahce ya Uturuki, kuitumikia miamba hiyo kwa miaka 3 na nusu.

Taaarifa zinasema wenda akatamburishwa Jumamosi leo hii.

#BinagoUPDATES

No comments