Advertisement

Responsive Advertisement

FRANK LAMPARD AFUTWA KAZI

LAMPARD AFUTWA KAZI CHELSEA, TUCHEL KUMRITHI 
 
 Chelsea wamemfuta kazi Frank Lampard. Uamuzi huo umefanywa baada ya bodi 'kukasirika' na 'kukatishwa tamaa' katika matokeo ya wiki zilizopita. ❌ 

Kocha wa Zamani wa Dortmund na PSG, Thomas Tuchel sasa yuko karibu kutangazwa kuwa meneja mpya wa Chelsea. 
 
SOURCE - FABRIZIO ROMANO.
#BinagoUPDATES

Post a Comment

0 Comments