Jenga Urafiki na Mungu


🌹#JENGA_URAFIKI_NA_MUNGU

🌲Kwa nini Abrahamu, Daudi, na Danieli walikuwa rafiki za Yehova? Yehova alimwambia Abrahamu hivi: “Umeisikiliza sauti yangu.” (Mwanzo 22:18) Yehova ni rafiki ya wale wote wanaomtii kwa unyenyekevu. Hata watu wa taifa zima wanaweza kuwa rafiki za Yehova. Yehova aliliambia taifa la Israeli hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.” (Yeremia 7:23) Hivyo, unahitaji kumtii Yehova ikiwa unataka kuwa rafiki yake.  Na mungu Atawalinda Rafiki zake kwa Gharama yoyote ile
Mfano1: #Ayubu_katika_Majaribu_alishinda
           2:#Danieli_katka_tundu_la_Simba_Akawa mzima Mungu alifunga vinywa vya simba
   3:#Shadrack_Meshack_Abednego_ktk_Tanuru yusu mwenyewe akajitokeza kuwaokoa mikononi mwa #Nebukadreza 

            4: #Paul_na_Sila grezani, milango ya gereza ilifunguka huu ni mfano tu lkini wapo wengi xana
 🌲Watu Hawa  #Mungu aliwalinda coz walikubali kujitoa kwaajili yake, na walimwamini na kumtegemea yeye kama rafiki wakweli.....
🌲#Siku_yaleo_usomapo_ujumbe_huu_Jenga_urafiki_Na_Mungu_Naye_hatokuacha_ktika_Jaribu_na_shida_yako     #BWANA_AWABARIKI   
        


Usisahau ku subscribe YouTube channel yetu ya BinagoTv

No comments