Advertisement

Responsive Advertisement

Corona Kisa chake ni KULA POPO!Amini hivyo!

Kwa Wachina Kula Popo ni mambo la kawaida,wakati kwa Mungu ni hapana

Soma Mambo ya Walawi 11:1- mpaka  mwisho,vyakula vingine ambavyo hatutakiwi kula ni hivi chini👇

Tuwe macho,corona ni Tauni ,ambayo ni moja ya magonjwa yanayoashilia kuwa  mwisho wa dunia umefika!

Tutubu,tusali usiku na mchana!
Zaidi ya yote tushike amri kuu ambayo ni UPENDO!

BARIKIWA!

Post a Comment

0 Comments