Ruto alisisitiza kuwa Wananchi wanapaswa kufahamu kila aina ya Uhuru una mipaka yake na Sheria za Usalama wa Umma zinapaswa kufuatwa na kuheshimiwa bila shuruti
Kauli ya Ruto inafuatia Idara za Ulinzi kuhusishwa na matukio ya Watu kupotea ambapo.
Ruto ameahidi Serikali yake itashughulikia na kuchukua hatua dhidi ya vitendo hivyo.

0 Comments