UONGOZI wa Biashara United unatarajia kumtangaza Mkenya Patrick Odhiambo kuwa kocha mkuu wa Klabu hiyo muda wowote kutoka sasa
Odhiambo mwenye Leseni B ya CAF anajiunga na Biashara baada ya kuachana na Klabu ya Kakamega HomeBoyz ya Kenya
Ikumbukwe kocha msaidizi wa sasa wa Biashara, Marwa Chamberi aliwahi kufanya kazi na Odhiambo katika klabu ya Sony Sugar ya Kenya, hivyo wawili hawa wataungana tena kule Musoma
0 Comments