Wanafunzi wawili na mmoja anaedaiwa kuwa mtu mzima mmoja wamepigwa risasi leo katika shule ya kati katika mji wa Rigby, Idaho nchini Marekani. Polisi wanasema wana mtuhumiwa aliye chini ya ulinzi. Hakuna neno bado juu ya nia au hali ya wahasiriwa.
Post a Comment