Advertisement

Responsive Advertisement

MPANGO AKISALIMIANA NA MKUU WA MKOA WA GEITA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Gabriel pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali, wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Chato Mkoani Geita leo Mei 14,2021.

Post a Comment

0 Comments