MOHAMED SALAH ATOA WITO KWA VIONGOZI DUNIANI

Ametoa wito kwa viongozi wa ulimwengu kumaliza ghasia huko Gaza.

Katika ujumbe wa twita, mshambuliaji huyo wa Liverpool na Misri alisema: "Ninatoa wito kwa viongozi wote wa ulimwengu ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu wa nchi hiyo ambayo imekuwa nyumba yangu kwa miaka 4 iliyopita kufanya kila kitu katika uwezo wao kuhakikisha vurugu hizo na mauaji ya watu wasio na hatia hukoma mara moja. Imetosha.

No comments