"Nimeusikiliza wimbo wa Ney Wa Mitego " MAMA", Hauna makosa hata kidogo, Nawashangaa sana Basata"
"BASATA Achaneni na Youtube haiwahusu kabisa, mtawezaje kuzuia nyimbo za NIGERIA zisizo na maadili?"
Niwakumbushe tu mama kisha kataa kuzinguliwa! shauri zenu"
0 Comments