Wakala wa wachezaji Tonombe Mukoko na Tuisila Kisinda, Nestroy Mukwale, amethibitisha kwamba amepokea jumla ya ofa tano zinazowahitaji nyota hao wanaoitumikia klabu ya Yanga.
Akiongea na #Kipenga ya #EastAfricaRadio Mukwale amesema kati ya ofa hizo tatu zinahitaji huduma ya Mukoko na mbili Tuisila. Amesema ni suala la Yanga tu kuamua kufanya biashara au kubaki nao.
0 Comments