Advertisement

Responsive Advertisement

NUSRAT HANJE: MOYONI MWANGU IPO CHADEMA


"Kwa sasa sitazungumza kitu chochote moyoni kwangu bado ni CHADEMA katiba inaeleza kama nimefukuzwa ngazi ya chini ninaweza kukata Rufaa kama sikuridhika, kwa sasa nitaendelea kutetea haki yangu ya kuwa mwanachama wa CHADEMA kwa sababu naamini katika CHADEMA" Mhe. Nusrat Hanje aliyepata ubunge siku moja baada ya kutoka jela na mmoja wa wabunge 19 Viti Maalum waliofukuzwa (CHADEMA)

Post a Comment

0 Comments