CEO BARBARA GOZALENZ ATHIBITISHA KAMPUNI YA VUNUABEI KUWA MSHINDI WA TENDA

Simba SC & Vunjabei

Mtendaji Mkuu (CEO), Barbara Gonzalez ameitangaza kampuni ya Vunja Bei kuwa mshindi wa tenda ya jezi za Simba.

Fredy Vunjabei ametoa kiasi cha Tshs Bilioni 2 kwa Simba kwa ajili ya tenda hiyo ya jezi za Simba SC.