kuwa macho na manabii hawa

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Yesu alisema.

Kijana huyu aliwekewa mshumaa huu na nabii ili unavyowaka na na kuisha,ndivyo matatizo yake yawe yanaisha,je ni sawa kwa mawazo yako??👇

Soma Biblia kila siku,upate maarifa.🙏

No comments