TANZANIA YATOKA DROO KWA MKAPA
YANGA YAMRUHUSU WAZIRI JUNIOR ASEPE
COASTAL Union ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Yanga, Waziri Junior kabla ya kufungwa kwa dirisha dogo la usajili.
Waziri ameonekana kuwa na wakati mgumu ndani ya kikosi cha Yanga ambapo mpaka sasa ameifungia bao moja pekee, huku kiwango chake kikionekana kuwapa maswali mengi mashabiki na viongozi wa klabu hiyo.
#BinagoUPDATES
Post a Comment