Sheikh huyu pamoja na baadhi ya wafuasi wake(wanafunzi),walifika kanisani na kutoa maneno yaliyo hakisi Kitabu kitakatifu cha Quran na Biblia,;
kuwa "Nabii Issa ndiye Yesu Kristo,na Yesu Kristo ndiye mkombozi wetu sote katika siku hile ya Mwisho!"Alisema hayo Sheikh katika ibada!.
0 Comments