Advertisement

Responsive Advertisement

"HATUNA MPANGO NA KOCHA HUYU" SIMBA


 ðŸ›‘Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Simba imejitoa kwenye mbio za kuitaka kuipata saini ya Kocha Julien Chevalier wa ASEC Mimosas ili kurithi mikoba ya Robertinho.


🛑Simba imejitoa kwenye mbio hizo kwakuwa Julien Chevalier ni kocha ambaye anahusudu sana project, inatajwa Wekundu wa Msimbazi hawako tayari kusubiri zaidi.



Post a Comment

0 Comments