Advertisement

Responsive Advertisement

KWA MUJIBU WA TAFITI ILIYOFANYWA NA PROFESA STAVINOS STAVRIANES, JUU YA KWA NINK WACHEZAJI WAFUPI NI BORA SANA

Kwa mujibu wa tafiti iliyofanywa na Profesa Stavinos Stavrianes wa Chuo Kikuu cha Willamette, juu ya kwanini wachezaji wafupi ni bora sana

Akichukulia mfano wa Diego Maradona, Pele, Xavi Hernandez, Andres Iniesta, Lionel Messi na Eden Hazard

Aligundua kuwa Wachezaji wafupi wana QUICKER STEPPING PATTERN, inawasaidia kubadili mwelekeo kirahisi sana, kuwa na kasi sana pia uwezo mkubwa kwa kucontrol mpira kutokana na vidole vya miguuni

Kwenye balance ya mwili kuna uhusiano mkubwa kati ya mikono na miguu, lakini pia GRAVITY DEFINERS yaani wamebalance vizuri na nguvu ya ukinzani wa dunia

Kwani kuna ubaya gani kwenye tafiti hiyo tukamuweka na LUIS MIQUISSONE? 😎

Post a Comment

0 Comments